"Jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu, mtenda kazi asiye na sababu ya kutahayari, ukitumia kwa halali neno la kweli"
2 Tim 2:15.
2 Tim 2:15.
Ni wajibu wa kila Mkristo kusoma, kuchunguza, na kutafakari Neno la Mungu ili apate kumfahamu Mungu mwenyewe pamoja na kujua mapenzi ya Mungu kwa ajili ya maisha yake. Lengo kuu katika kujifunza Biblia ni kujenga uhusiano kati ya muumini na Mungu.
Hapo chini tumeweka masomo 35 ambayo Mkristo wa kawaida anaweza kutumia kujisomesha Neno la Mungu. Masomo haya yameandaliwa katika PDF ya saizi ya A4 ili mwanafunzi aweze kuyaprint na kuyajaza mwenyewe.
discuss how to get answers
discuss that someone might want to disciple others
Hapo chini tumeweka masomo 35 ambayo Mkristo wa kawaida anaweza kutumia kujisomesha Neno la Mungu. Masomo haya yameandaliwa katika PDF ya saizi ya A4 ili mwanafunzi aweze kuyaprint na kuyajaza mwenyewe.
discuss how to get answers
discuss that someone might want to disciple others
UTANGULIZI Somo #1 - Utangulizi wa Masomo ya Biblia MISINGI YA IMANI Somo #2 - Misingi ya Imani 1 Somo #3 - Misingi ya Imani 2 KUELEWA BIBLIA Somo #4 - Kuelewa Biblia 1 Somo #5 - Kuelewa Biblia 2 Somo #6 - Kuelewa Biblia 3 Somo #7 - Kuelewa Biblia 4 Somo #8 - Kuelewa Biblia 5 Somo #9 - Kuelewa Biblia 6 Somo #10 - Kuelewa Biblia 7 Somo #11 - Kuelewa Biblia 8 KITABU CHA WARUMI Somo #12 - Warumi 1 Somo #13 - Warumi 2 Somo #14 - Warumi 3 Somo #15 - Warumi 4 KITABU CHA 1 WAKORINTHO Somo #16 - 1 Wakorintho 1 Somo #17 - 1 Wakorintho 2 Somo #18 - 1 Wakorintho 3 Somo #19 - 1 Wakorintho 4 Somo #20 - 1 Wakorintho 5 KITABU CHA 2 WAKORINTHO Somo #21 - 2 Wakorintho 1 Somo #22 - 2 Wakorintho 2 Somo #23 - 2 Wakorintho 3 |
KITABU CHA WAGALATIA
Somo #24 - Wagalatia 1 KITABU CHA WAEFESO Somo #25 - Waefeso 1 Somo #26 - Waefeso 2 KITABU CHA WAFILIPI Somo #27 - Wafilipi 1 KITABU CHA WAKOLOSAI Somo #28 - Wakolosai 1 KITABU CHA 1 WATHESALONIKE Somo #29 - 1 Wathesalonike 1 KITABU CHA 2 WATHESALONIKE Somo #30 - 2 Wathesalonike 1 KITABU CHA 1 TIMOTHEO Somo #31 - 1 Timotheo 1 Somo #32 - 1 Timotheo 2 KITABU CHA 2 TIMOTHEO Somo #33 - 2 Timotheo 1 KITABU CHA TITO Somo #34 - Tito 1 KITABU CHA FILEMONI Somo #35 - Filemoni 1 |