Biblia ni kitabu kikubwa chenye habari nyingi inayohusu miaka mingi ya historia, jinsi Mungu alivyohusiana na watu njiani, na jinsi Mungu anavyotaka kuhusiana na Wakristo leo. Kutokana na upana na utofauti wa habari hizo ni rahisi kwa mtu asiyejua misingi ya Biblia kuchanganyikiwa na hata kutafsiri vibaya maana ya sehemu mbalimbali ya Biblia. Kitabu hiki kitampa msomaji mwongozo wa mambo makubwa na migawo muhimu katika Neno la Mungu ili aweze kusoma kila sehemu ya Biblia na kuelewa jinsi sehemu hizo zinavyohusika katika maisha yake.
Publisher: GMI Tanzania Publishers Mwaandishi: Dr. Charles Baker Kurasa: 61 |
[object Object]
Proudly powered by Weebly